Image
Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka  na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazoundwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
  • Makamu wa Kwanza wa Rais
  • Makamu wa Pili wa Rais
  • Baraza la Mapinduzi 
  • Mwanasheria Mkuu wa Serikali
  • Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe. Othman Masoud Othman
Mhe. Othman Masoud OthmanMakamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
Mhe. Hemed Suleiman AbdullaMakamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Mawaziri

Mhe. Harusi Said Suleiman
Mhe. Harusi Said SuleimanWaziri wa Nchi, Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais
Mhe. Mwl. Haroun Ali Suleiman
Mhe. Mwl. Haroun Ali SuleimanWaziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora
Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum
Mhe. Dkt. Saada Mkuya SalumWaziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Fedha na Mipango
Mhe. Nassor Ahmed Mazrui
Mhe. Nassor Ahmed MazruiWaziri wa Afya
Mhe. Shamata Shaame Khamis
Mhe. Shamata Shaame KhamisWaziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo
Mhe. Lela Muhamed Mussa
Mhe. Lela Muhamed MussaWaziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali
Mhe. Shaib Hassan Kaduara
Mhe. Shaib Hassan KaduaraWaziri wa Maji, Nishati na Madini
Mhe. Suleiman Masoud Makame
Mhe. Suleiman Masoud MakameWaziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi
Mhe. Riziki Pembe Juma
Mhe. Riziki Pembe JumaWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Mhandisi Zena Ahmed Said
Mhandisi Zena Ahmed SaidKatibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Mhe. Hamza Hassan Juma
Mhe. Hamza Hassan JumaWaziri wa Nchi, Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi
Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga
Mhe. Mudrik Ramadhan SoragaWaziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uekezaji
Mhe. Masoud Ali Mohammed
Mhe. Masoud Ali MohammedWaziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
Mhe. Tabia Maulid Mwita
Mhe. Tabia Maulid MwitaWaziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo
Mhe. Omar Said  Shaaban
Mhe. Omar Said ShaabanWaziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda
Mhe. Simai Mohammed Said
Mhe. Simai Mohammed SaidWaziri wa Utalii na Mambo ya Kale
Mhe. Rahma Kassim Ali
Mhe. Rahma Kassim AliWaziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi
Mhe. Dkt. Khalid Salum Mohamed
Mhe. Dkt. Khalid Salum MohamedWaziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi
Mhe. Dkt. Mwinyi Talib Haji
Mhe. Dkt. Mwinyi Talib HajiMwanasheria Mkuu wa Serikali

Naibu Mawaziri

Mhe. Ali Suleiman Ameir
Mhe. Ali Suleiman AmeirNaibu Waziri, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango
Mhe. Ali Abdulgullam Hussein
Mhe. Ali Abdulgullam HusseinNaibu Waziri, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Mhe. Anna Athanas Paul
Mhe. Anna Athanas PaulNaibu Waziri, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Mhe. Nadir Abdillatif Yussuf Alwardy
Mhe. Nadir Abdillatif Yussuf AlwardyNaibu Waziri, Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi
Mhe. Juma Makungu Juma
Mhe. Juma Makungu JumaNaibu Waziri, Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi
Mhe. Hassan Khamis Hafidh
Mhe. Hassan Khamis HafidhNaibu Waziri, Wizara ya Afya
Mhe. Shaaban Ali Othman
Mhe. Shaaban Ali OthmanNaibu Waziri, Wizara ya Maji, Nishati na Madini